101. Mwanamke aliyetakaswa kutoka juu ya mbingu ya saba

98 – Wakati Masruuq alipokuwa akihadithia kutoka kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) alikuwa daima akisema:

”Amenihadithia mwanamke mkweli, mtoto wa mwanaume mkweli, mpenzi wa mpenzi wa Allaah, mwanamke aliyetakaswa kutoka juu ya mbingu ya saba.”[1]

Cheni ya wapokezi ni Swahiyh.

[1] Ibn-ul-Qayyim pia ameisahihisha katika “Ijtimaa´-ul-Juyuush al-Islaamiyyah”, uk. 102, bila ya kutaja vyanzo vyake. Katika cheni ya wapokezi kuna bwana mmoja ambaye hakutajwa jina, lakini ameelezwa kuwa ni mwenye kuaminika – na Allaah ndiye mjuzi zaidi.

  • Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 121-122
  • Imechapishwa: 12/07/2024
  • taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy