10 – Binti wa Kiislamu! Jikurubishe kwa Allaah kwa mambo ya faradhi, yanayopendeza na aina mbalimbali za ´ibaadah na hivyo utapata ujira mkubwa na utapanda katika ngazi za juu na utakuwa ni miongoni mwa wapenzi wa Allaah ambao:

لَا خَوْفٌ عَلَيْكُمُ الْيَوْمَ وَلَا أَنتُمْ تَحْزَنُونَ

”Hakuna khofu juu yenu leo na wala nyinyi hamtohuzunika.”[1]

[1] 43:68

  • Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 18
  • Imechapishwa: 10/02/2026