Ni lazima kwa waislamu kulingania katika haki, wafafanue Uislamu, mazuri yake na wabainishie ukweli wake kwa jamii zote kwa lugha wanazofahamu ili wafikiwe na ujumbe wa Allaah, Mtume na dini Yake. Vilevile ni lazima kwao kufichua hoja tata wanazobabaisha kwazo maadui wa Uislamu na wajibu matusi wanayotusi maadui wa Uislamu na wabainishe ubatilifu wake kwa dalili za Qur-aan na Sunnah na za kiakili. Kwani Allaah amewalazimu kuinusuru dini na Mtume Wake Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na akawaeleza (Subhaanah) kwamba hakuna uokozi wala kufaulu isipokuwa kwa yule mwenye kuinusuru haki na akaifuata.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/articles/78/الاسلام-هو-دين-الله-ليس-له-دين-سواه
- Imechapishwa: 06/10/2021
Ni lazima kwa waislamu kulingania katika haki, wafafanue Uislamu, mazuri yake na wabainishie ukweli wake kwa jamii zote kwa lugha wanazofahamu ili wafikiwe na ujumbe wa Allaah, Mtume na dini Yake. Vilevile ni lazima kwao kufichua hoja tata wanazobabaisha kwazo maadui wa Uislamu na wajibu matusi wanayotusi maadui wa Uislamu na wabainishe ubatilifu wake kwa dalili za Qur-aan na Sunnah na za kiakili. Kwani Allaah amewalazimu kuinusuru dini na Mtume Wake Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na akawaeleza (Subhaanah) kwamba hakuna uokozi wala kufaulu isipokuwa kwa yule mwenye kuinusuru haki na akaifuata.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/articles/78/الاسلام-هو-دين-الله-ليس-له-دين-سواه
Imechapishwa: 06/10/2021
https://firqatunnajia.com/10-ni-lazima-kubainisha-haki-kwa-jamii-zote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)