10- Kufunika vyombo na machupa ya maji
Jaabir bin ´Abdillaah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Funikeni vyombo na viriba vya maji. Hakika kwa mwaka kuna usiku ambapo kunashuka janga; halipiti kwenye chombo kisichokuwa na mfuniko wala kiriba cha maji kilicho wazi isipokuwa linashuka ndani yavyo.”[1]
Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:
“Ni kitu ambacho madaktari hawana elimu nacho.”[2]
[1] Muslim.
[2] Zaad-ul-Ma´aad.
- Mhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ´Ashru Waswaayaa lil-Wiqaayah min-al-Wabaa’, uk. 13
- Imechapishwa: 05/04/2020
10- Kufunika vyombo na machupa ya maji
Jaabir bin ´Abdillaah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Funikeni vyombo na viriba vya maji. Hakika kwa mwaka kuna usiku ambapo kunashuka janga; halipiti kwenye chombo kisichokuwa na mfuniko wala kiriba cha maji kilicho wazi isipokuwa linashuka ndani yavyo.”[1]
Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:
“Ni kitu ambacho madaktari hawana elimu nacho.”[2]
[1] Muslim.
[2] Zaad-ul-Ma´aad.
Mhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ´Ashru Waswaayaa lil-Wiqaayah min-al-Wabaa’, uk. 13
Imechapishwa: 05/04/2020
https://firqatunnajia.com/10-kinga-ya-kumi-ya-janga-la-corona-kufunika-vyombo-na-machupa-ya-maji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)