987- Abu Sa´iyd (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna mja yeyote atakayefunga siku moja katika njia ya Allaah (Ta´ala) isipokuwa Allaah atauweka mbali uso wake na Moto kwa ajili ya siku hiyo moja miaka sabini.”
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim, at-Tirmidhiy na an-Nasaa´iy.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/580)
- Imechapishwa: 29/05/2018
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)