10- Muhammad bin Makhlad na Abu Twaalib al-Haafidhw Ahmad bin Naswr ametuhadithia: Muhammad bin Ghaalib bin Harb ametuhadithia: ´Abdur-Rahmaan bin Salaam al-Qurashiy ametuhadithia: Hammaad bin Salamah ametuhadithia, kutoka kwa Yuunus bin ´Ubayd, kutoka kwa Muhammad bin Siyriyn, kutoka kwa Abu Hurayrah ambaye amesimulia ya kwamba amemsikia Mtume wa Allaah
”Watu wa Motoni watatupwa ndani yake na utasema:
هَلْ مِن مَّزِيدٍ
“Hakuna zaidi?”[1]
[1] 50:30
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 44-45
- Imechapishwa: 22/10/2017
10- Muhammad bin Makhlad na Abu Twaalib al-Haafidhw Ahmad bin Naswr ametuhadithia: Muhammad bin Ghaalib bin Harb ametuhadithia: ´Abdur-Rahmaan bin Salaam al-Qurashiy ametuhadithia: Hammaad bin Salamah ametuhadithia, kutoka kwa Yuunus bin ´Ubayd, kutoka kwa Muhammad bin Siyriyn, kutoka kwa Abu Hurayrah ambaye amesimulia ya kwamba amemsikia Mtume wa Allaah
”Watu wa Motoni watatupwa ndani yake na utasema:
هَلْ مِن مَّزِيدٍ
“Hakuna zaidi?”[1]
[1] 50:30
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 44-45
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/10-dalili-juu-ya-mguu-wa-allaah-10/