9- Kusimama usiku kuswali
Bilaal (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Lazimianeni na kusimama usiku kuswali. Hakika ndivo walivokuwa wakifanya wema kabla yenu. Kusimama usiku kuswali na kumkurubia Allaah, kunamlinda mtu kutokamana na madhambi, kunafuta makosa na kunaondosha magonjwa mwilini.”[1]
[1] at-Tirmidhiy na wengineo.
- Muhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ´Ashru Waswaayaa lil-Wiqaayah min-al-Wabaa’, uk. 12
- Imechapishwa: 05/04/2020
9- Kusimama usiku kuswali
Bilaal (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Lazimianeni na kusimama usiku kuswali. Hakika ndivo walivokuwa wakifanya wema kabla yenu. Kusimama usiku kuswali na kumkurubia Allaah, kunamlinda mtu kutokamana na madhambi, kunafuta makosa na kunaondosha magonjwa mwilini.”[1]
[1] at-Tirmidhiy na wengineo.
Muhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ´Ashru Waswaayaa lil-Wiqaayah min-al-Wabaa’, uk. 12
Imechapishwa: 05/04/2020
https://firqatunnajia.com/09-kinga-ya-tisa-ya-janga-la-corona-kusimama-usiku-kuswali/