986- Abu Umaamah (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Nilisema: “Ee Mtume wa Allaah! Niamrishe kitendo.” Akasema: “Lazimiana na swawm. Hakuna badala yake.” Nikasema: “Ee Mtume wa Allaah! Niamrishe kitendo.” Akasema: “Lazimiana na swawm. Hakuna badala yake.”[1]
Ameipokea an-Nasaa´iy na Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake, namna hii na bila ya kukariri. Vilevile kwa al-Haakim (ambaye ameisahihisha) na kwa an-Nasaa´iy imekuja:
“Nilimjia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo nikasema: “Ee Mtume wa Allaah! Niamrishe amri ambayo Allaah ataninufaisha kwayo.” Akasema: “Lazimiana na swawm. Hakuna badala yake.”[2]
Katika “as-Swahiyh” ya Ibn Hibbaan imekuja:
“Nilisema: “Ee Mtume wa Allaah! Nielekeze kwenye kitendo ambacho nitaingia Peponi kwacho.” Akasema: “Lazimiana na swawm. Hakuna mfano wake.”
Mida ya mchana kulikuwa hakuonekani moshi kwa Abu Umaamah isipokuwa anapofikiwa na wageni.[3]
[1] Swahiyh.
[2] Swahiyh.
[3] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/580)
- Imechapishwa: 29/05/2018
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
986- Abu Umaamah (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Nilisema: “Ee Mtume wa Allaah! Niamrishe kitendo.” Akasema: “Lazimiana na swawm. Hakuna badala yake.” Nikasema: “Ee Mtume wa Allaah! Niamrishe kitendo.” Akasema: “Lazimiana na swawm. Hakuna badala yake.”[1]
Ameipokea an-Nasaa´iy na Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake, namna hii na bila ya kukariri. Vilevile kwa al-Haakim (ambaye ameisahihisha) na kwa an-Nasaa´iy imekuja:
“Nilimjia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo nikasema: “Ee Mtume wa Allaah! Niamrishe amri ambayo Allaah ataninufaisha kwayo.” Akasema: “Lazimiana na swawm. Hakuna badala yake.”[2]
Katika “as-Swahiyh” ya Ibn Hibbaan imekuja:
“Nilisema: “Ee Mtume wa Allaah! Nielekeze kwenye kitendo ambacho nitaingia Peponi kwacho.” Akasema: “Lazimiana na swawm. Hakuna mfano wake.”
Mida ya mchana kulikuwa hakuonekani moshi kwa Abu Umaamah isipokuwa anapofikiwa na wageni.[3]
[1] Swahiyh.
[2] Swahiyh.
[3] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/580)
Imechapishwa: 29/05/2018
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/09-hadiyth-lazimiana-na-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket