Swali 9: Ni ipi hukumu ya funga ya mwanamke akiona damu lakini asiwe na uhakika kama ni damu ya hedhi?
Jibu: Funga ya siku yake hiyo ni sahihi. Kwa sababu msingi ni kutokuwepo kwa hedhi mpaka imbainikie kwamba ni hedhi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 12
- Imechapishwa: 18/06/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket