Ee Muislamu – Allaah aniwafikishe mimi na wewe katika yale anayoyapenda na kuyaridhia – tambua ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa na Jibriyl (´alayhis-Swalaatu was-Salaam) kuhusu imani ambapo akawa amejibu kwa kusema:
“Imani ni kumwamini Allaah, Malaika Wake, Vitabu Vyake, Mitume Wake, siku ya Mwisho na kuamini Qadar; kheri na shari yake.” Jibriyl (´alayhis-Swalaatu was-Salaam) akamwambia: “Umesema kweli.”
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Qawl al-Mufiyd fiy Adillat-it-Tawhiyd
- Imechapishwa: 05/08/2020
Ee Muislamu – Allaah aniwafikishe mimi na wewe katika yale anayoyapenda na kuyaridhia – tambua ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa na Jibriyl (´alayhis-Swalaatu was-Salaam) kuhusu imani ambapo akawa amejibu kwa kusema:
“Imani ni kumwamini Allaah, Malaika Wake, Vitabu Vyake, Mitume Wake, siku ya Mwisho na kuamini Qadar; kheri na shari yake.” Jibriyl (´alayhis-Swalaatu was-Salaam) akamwambia: “Umesema kweli.”
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Qawl al-Mufiyd fiy Adillat-it-Tawhiyd
Imechapishwa: 05/08/2020
https://firqatunnajia.com/08-nguzo-za-imani-ni-sita/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)