Ni jambo lisilokuwa na shaka ya kwamba kuna njia za kujifunza elimu. Tunaona baadhi ya wanafunzi wanasema kuwa wamejichosha miili yao na nafsi zao, lakini hawaoni kuwa wanapata elimu yoyote. Wanasema kuwa wamefuatilia mizunguko ya kielimu miaka na miaka, kusoma vitabu na kutembea navyo huku na kule, lakini hawakufikia elimu yoyote. Mtu kama huyu ima ni kutokana na kuwepo kasoro kwenye nia yake au kasoro katika ile njia ya kuitafuta. Ni lazima kwa mwanafunzi ajue njia sahihi ya kujifunza elimu.
- Muhusika: Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Ilm wa Wasaaailuh wa Thimaaruh
- Imechapishwa: 22/10/2016
Ni jambo lisilokuwa na shaka ya kwamba kuna njia za kujifunza elimu. Tunaona baadhi ya wanafunzi wanasema kuwa wamejichosha miili yao na nafsi zao, lakini hawaoni kuwa wanapata elimu yoyote. Wanasema kuwa wamefuatilia mizunguko ya kielimu miaka na miaka, kusoma vitabu na kutembea navyo huku na kule, lakini hawakufikia elimu yoyote. Mtu kama huyu ima ni kutokana na kuwepo kasoro kwenye nia yake au kasoro katika ile njia ya kuitafuta. Ni lazima kwa mwanafunzi ajue njia sahihi ya kujifunza elimu.
Muhusika: Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-´Ilm wa Wasaaailuh wa Thimaaruh
Imechapishwa: 22/10/2016
https://firqatunnajia.com/07-usipochagua-njia-sahihi-hatimae-utajichosha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)