Watu wako katika ngazi tatu:
1- Mjinga.
2- Mwanachuoni mzembe.
3- Mwanachuoni mkaidi.
Hatuwezi kumlinganisha kila mmoja na mwingine. Ni lazima kila mmoja kumtteremsha ngazi yake. Kwa ajili hii pindi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipomtuma Mu´aadh kwenda Yemen alimwambia:
“Hakika wewe unawaendea watu katika Ahl-ul-Kitaab.”
Alimwambia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hivo ili Mu´aadh aweze kujua hali yao na ajiandae kwa yale yanayopelekea hali hii na vilevile awazungumzishe kwa yale yanayopelekea hali hii.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Dawr-ul-Mar´ah fiy Iswlaah-il-Mujtama´ https://www.sahab.net/home/?p=806
- Imechapishwa: 02/02/2017
Watu wako katika ngazi tatu:
1- Mjinga.
2- Mwanachuoni mzembe.
3- Mwanachuoni mkaidi.
Hatuwezi kumlinganisha kila mmoja na mwingine. Ni lazima kila mmoja kumtteremsha ngazi yake. Kwa ajili hii pindi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipomtuma Mu´aadh kwenda Yemen alimwambia:
“Hakika wewe unawaendea watu katika Ahl-ul-Kitaab.”
Alimwambia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hivo ili Mu´aadh aweze kujua hali yao na ajiandae kwa yale yanayopelekea hali hii na vilevile awazungumzishe kwa yale yanayopelekea hali hii.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Dawr-ul-Mar´ah fiy Iswlaah-il-Mujtama´ https://www.sahab.net/home/?p=806
Imechapishwa: 02/02/2017
https://firqatunnajia.com/07-sampuli-za-wale-wanaolinganiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)