95- Samurah bin Jundub (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yeyote mwenye kusimulia kutoka kwangu mazungumzo yoyote hali ya kuwa anadhani kuwa ni uongo, basi yeye ni mmoja katika waongo.”[1]
Ameipokea Muslim na wengineo.
[1] Swahiyh
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/148)
- Imechapishwa: 01/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
95- Samurah bin Jundub (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yeyote mwenye kusimulia kutoka kwangu mazungumzo yoyote hali ya kuwa anadhani kuwa ni uongo, basi yeye ni mmoja katika waongo.”[1]
Ameipokea Muslim na wengineo.
[1] Swahiyh
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/148)
Imechapishwa: 01/05/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/07-hadiyth-yeyote-mwenye-kusimulia-kutoka-kwangu-mazungumzo-yoyote/