Jambo la tano ni kwamba al-Albaaniy (Rahimahu Allaah) amemzingatia Ibn Taymiyyah, Ibn-ul-Qayyim, Hanaabilah wote na wafuasi wote wa Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab katika kundi la wale wenye kuamini Allaah (´Azza wa Jall) kuwepo juu ya viumbe na kuamini lile swali la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Allaah yuko wapi?” Akajibu: “Juu ya mbingu.” Akamuuliza: “Mimi ni nani?” Akajibu: “Wewe ni Mtume wa Allaah.” Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam): “Mwache huru. Kwani hakika ni muumini.”[1]
Amewavua kutoka katika jamii ya kipindi cha kikafiri na akabainisha kwamba wamepatia.
[1] Muslim (537).
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fath ar-Rabbaaniy fiyd-Difaa´ ´an-ish-Shaykh Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy, uk. 28
- Imechapishwa: 27/10/2018
Jambo la tano ni kwamba al-Albaaniy (Rahimahu Allaah) amemzingatia Ibn Taymiyyah, Ibn-ul-Qayyim, Hanaabilah wote na wafuasi wote wa Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab katika kundi la wale wenye kuamini Allaah (´Azza wa Jall) kuwepo juu ya viumbe na kuamini lile swali la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Allaah yuko wapi?” Akajibu: “Juu ya mbingu.” Akamuuliza: “Mimi ni nani?” Akajibu: “Wewe ni Mtume wa Allaah.” Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam): “Mwache huru. Kwani hakika ni muumini.”[1]
Amewavua kutoka katika jamii ya kipindi cha kikafiri na akabainisha kwamba wamepatia.
[1] Muslim (537).
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fath ar-Rabbaaniy fiyd-Difaa´ ´an-ish-Shaykh Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy, uk. 28
Imechapishwa: 27/10/2018
https://firqatunnajia.com/07-al-albaaniy-kuhusu-jamii-ya-hanaabilah-hii-leo/