1- Muhammad bin ´Aliy bin Husayn amesema:
“Pindi mtu anapofikisha miaka 40 hunadi mwenye kunadi mbinguni: “Safari inakaribia. Andaa chakula chako.”
2- Mwenye busara anatakiwa kuwa mwangalifu kutoufanya moyo wake kuwa mgumu. Mfalme akiwa mzuri basi na askari pia huwa wazuri na mfalme akiharibika basi na askari pia huharibika.
3- ´Umar bin al-Khattwaab amesema:
“Keti na wale wenye kutubia. Mioyo yao ni laini.”
4- Kuna mtu alimwambia al-Hasan al-Baswriy:
“Mambo yako vipi? Vipi hali yako?” Akajibu:
“Ni vipi itakuwa hali ya ambaye anakutana na asubuhi na jioni hali ya kusubiri mauti yamjie na wala hajui ni kipi kitachopitika?”
5- al-Hasan al-Baswriy:
“Kitendo bora ni uchaji Allaah na mazingatio.”
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Hibbaan al-Bustiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Rawdhat-ul-´Uqalaa’ wa Nuzhat-ul-Fudhwalaa’, uk. 31-32
- Imechapishwa: 12/11/2016
1- Muhammad bin ´Aliy bin Husayn amesema:
“Pindi mtu anapofikisha miaka 40 hunadi mwenye kunadi mbinguni: “Safari inakaribia. Andaa chakula chako.”
2- Mwenye busara anatakiwa kuwa mwangalifu kutoufanya moyo wake kuwa mgumu. Mfalme akiwa mzuri basi na askari pia huwa wazuri na mfalme akiharibika basi na askari pia huharibika.
3- ´Umar bin al-Khattwaab amesema:
“Keti na wale wenye kutubia. Mioyo yao ni laini.”
4- Kuna mtu alimwambia al-Hasan al-Baswriy:
“Mambo yako vipi? Vipi hali yako?” Akajibu:
“Ni vipi itakuwa hali ya ambaye anakutana na asubuhi na jioni hali ya kusubiri mauti yamjie na wala hajui ni kipi kitachopitika?”
5- al-Hasan al-Baswriy:
“Kitendo bora ni uchaji Allaah na mazingatio.”
Muhusika: Imaam Muhammad bin Hibbaan al-Bustiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Rawdhat-ul-´Uqalaa’ wa Nuzhat-ul-Fudhwalaa’, uk. 31-32
Imechapishwa: 12/11/2016
https://firqatunnajia.com/06-mwenye-busara-na-taqwa-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket