Kutokana na haya ikiwa jina moja wapo la Allaah halipelekei katika sifa nyingine basi kulihakiki kwa kuliamini kunakuwa kwa mambo mawili yafuatayo:
1- Kumthibitishia jina hilo Allaah.
2- Kuthibitisha ile sifa inayopelekea kwa njia kamilifu zaidi inayolingana na Allaah (Tabaarak wa Ta´ala).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah fiy-´Aqiydah wal-´Amal, uk. 13
- Imechapishwa: 02/07/2019
Kutokana na haya ikiwa jina moja wapo la Allaah halipelekei katika sifa nyingine basi kulihakiki kwa kuliamini kunakuwa kwa mambo mawili yafuatayo:
1- Kumthibitishia jina hilo Allaah.
2- Kuthibitisha ile sifa inayopelekea kwa njia kamilifu zaidi inayolingana na Allaah (Tabaarak wa Ta´ala).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah fiy-´Aqiydah wal-´Amal, uk. 13
Imechapishwa: 02/07/2019
https://firqatunnajia.com/06-mambo-mawili-ya-kuzingatia-juu-ya-majina-ya-allaah-yasiyopelekea-katika-sifa-nyingine/