Kutokana na haya ikiwa jina moja wapo la Allaah halipelekei katika sifa nyingine basi kulihakiki kwa kuliamini kunakuwa kwa mambo mawili yafuatayo:
1- Kumthibitishia jina hilo Allaah.
2- Kuthibitisha ile sifa inayopelekea kwa njia kamilifu zaidi inayolingana na Allaah (Tabaarak wa Ta´ala).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah fiy-´Aqiydah wal-´Amal, uk. 13
- Imechapishwa: 02/07/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)