Kumuamini Allaah maana yake ni mtu kuwa na I´tiqaad ya kukata kabisa juu ya umoja wa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) juu ya uola wa Allaah, kuabudiwa Kwake na majina na sifa Zake. Kwa haya kunamaanishwa kwamba ndani yake mna aina tatu za Tawhiyd.
1 – Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah.
2 – Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah.
3 – Tawhiyd-ul-Asmaa´ was-Swifaat.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mujmal ´Aqiydat-is-Salaf as-Swaalih, uk. 06
- Imechapishwa: 24/05/2022
Kumuamini Allaah maana yake ni mtu kuwa na I´tiqaad ya kukata kabisa juu ya umoja wa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) juu ya uola wa Allaah, kuabudiwa Kwake na majina na sifa Zake. Kwa haya kunamaanishwa kwamba ndani yake mna aina tatu za Tawhiyd.
1 – Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah.
2 – Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah.
3 – Tawhiyd-ul-Asmaa´ was-Swifaat.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mujmal ´Aqiydat-is-Salaf as-Swaalih, uk. 06
Imechapishwa: 24/05/2022
https://firqatunnajia.com/06-maana-ya-kuamini-allaah/