42- Abu Ayyuub al-Answaariy amesimulia kutoka kw ´Awf bin Malik ambaye amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alijitokeza kwetu akiwa ni mwenye kuogopa akasema: “Nitiini muda wa kuwa bado niko kati yenu. Jilazimieni na Kitabu cha Allaah na halalisheni halali zake na haramisheni haramu zake.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Kabiyr”. Wapokezi wake ni waaminifu.
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/125)
- Imechapishwa: 26/04/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
42- Abu Ayyuub al-Answaariy amesimulia kutoka kw ´Awf bin Malik ambaye amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alijitokeza kwetu akiwa ni mwenye kuogopa akasema: “Nitiini muda wa kuwa bado niko kati yenu. Jilazimieni na Kitabu cha Allaah na halalisheni halali zake na haramisheni haramu zake.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Kabiyr”. Wapokezi wake ni waaminifu.
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/125)
Imechapishwa: 26/04/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/06-hadiyth-nitiini-muda-wa-kuwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket