143- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mizozo juu ya Qur-aan ni ukafiri.”[1]
Ameipokea Abu Daawuud na Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake.
144- at-Twabaraaniy na wengineo wameipokea kupitia kwa Zayd bin Thaabit (Radhiya Allaahu ´anh).[2]
[1] Nzuri kupitia zengine.
[2] Swahiyh. Kwa at-Twabaraaniy imekuja:
”Msizozane juu ya Qur-aan. Kwani hakika kuzozana juu yake ni ukafiri.” (4916)
Imesihi kwa ukamilifu huu kutoka kwa baadhi ya Maswahabah. Tazama ”as-Swahiyhah” (2419).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/170)
- Imechapishwa: 07/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)