713- Samurah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hudhurieni swalah ya ijumaa na sogeeni karibu na imamu. Mtu atakuwa miongoni mwa watu wa Peponi halafu aje hali ya kuwa amechelewa ambapo acheleweshwe kutokamana na Pepo, ilihali ni miongoni mwa watu wake.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy, as-Aswbahaaniy na wengineo[2].
[1] Nzuri kupitia zengine.
[2] Akiwemo Ahmad (05/10). Ilikuwa bora zaidi lau angerejesha kwake. Abu Daawuud amepokea mfano wake kwa mlolongo wa wapokezi mzuri, kama unaweza kupata katika ”Swahiyh Sunan Abiy Daawuud” (1015) na ”as-Swahiyhah” (365).
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/445)
- Imechapishwa: 25/01/2018
713- Samurah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hudhurieni swalah ya ijumaa na sogeeni karibu na imamu. Mtu atakuwa miongoni mwa watu wa Peponi halafu aje hali ya kuwa amechelewa ambapo acheleweshwe kutokamana na Pepo, ilihali ni miongoni mwa watu wake.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy, as-Aswbahaaniy na wengineo[2].
[1] Nzuri kupitia zengine.
[2] Akiwemo Ahmad (05/10). Ilikuwa bora zaidi lau angerejesha kwake. Abu Daawuud amepokea mfano wake kwa mlolongo wa wapokezi mzuri, kama unaweza kupata katika ”Swahiyh Sunan Abiy Daawuud” (1015) na ”as-Swahiyhah” (365).
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/445)
Imechapishwa: 25/01/2018
https://firqatunnajia.com/06-hadiyth-hudhurieni-swalah-ya-ijumaa-na-sogeeni-karibu-na-imamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket