712- an-Nasaa´iy amepokea mfano wake kutoka katika Hadiyth ya Abu Hurayrah[1]. Hadiyth ya ´Abdullaah bin ´Amr al-´Aasw imeshatangulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atakayetawadha na akaoga, akasogea karibu na akaja mapema, akajongea karibu na kusikiliza, basi analipwa kwa kila hatua moja aliyopiga kisimamo cha usiku cha mwaka mzima na swawm yake.”[2]
Vilevile kumeshatangulia Hadiyth mfano wake kutoka kwa Aws bin Aws.
[1] Pamoja na Muslim, Ibn Maajah na Ibn Khuzaymah, kama nilivyobainisha katika asili.
[2] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/445)
- Imechapishwa: 25/01/2018
712- an-Nasaa´iy amepokea mfano wake kutoka katika Hadiyth ya Abu Hurayrah[1]. Hadiyth ya ´Abdullaah bin ´Amr al-´Aasw imeshatangulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atakayetawadha na akaoga, akasogea karibu na akaja mapema, akajongea karibu na kusikiliza, basi analipwa kwa kila hatua moja aliyopiga kisimamo cha usiku cha mwaka mzima na swawm yake.”[2]
Vilevile kumeshatangulia Hadiyth mfano wake kutoka kwa Aws bin Aws.
[1] Pamoja na Muslim, Ibn Maajah na Ibn Khuzaymah, kama nilivyobainisha katika asili.
[2] Swahiyh.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/445)
Imechapishwa: 25/01/2018
https://firqatunnajia.com/05-hadiyth-atakayetawadha-na-akaoga/