128- Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Haitovuka miguu ya mwanadamu siku ya Qiyaamah mpaka aulizwe juu ya mambo matano: umri wake aliuteketeza katika mambo gani, ujana wake aliutumia vipi, mali yake aliipata kivipi na akaitumia wapi na mwili wake aliutumia vipi na alifanya nini kwa yale aliyojifunza?”[1]
Ameipokea at-Tirmidhiy na al-Bayhaqiy.
[1] Nzuri kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/163)
- Imechapishwa: 05/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)