720- ´Abdullaah bin Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Inatosha kuwa umefanya upuuzi kumwambia mwenzako aliye karibu nawe anyamaze baada ya kuwa imamu ameshafika katika ijumaa.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh kutoka kwa Ibn Mas´uud.
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/449)
- Imechapishwa: 14/01/2018
720- ´Abdullaah bin Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Inatosha kuwa umefanya upuuzi kumwambia mwenzako aliye karibu nawe anyamaze baada ya kuwa imamu ameshafika katika ijumaa.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh kutoka kwa Ibn Mas´uud.
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/449)
Imechapishwa: 14/01/2018
https://firqatunnajia.com/05-hadiyth-inatosha-kuwa-umefanya-upuuzi-kumwambia-mwenzako/