127- al-Bayhaqiy na wengineo wamepokea kutoka kwa Mu´aadh bin Jabal ambaye ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Haitovuka miguu ya mja siku ya Qiyaamah mpaka aulizwe juu ya mambo mane: umri wake aliuteketeza katika mambo gani, elimu yake aliifanyia nini, mali yake aliipata kivipi na akaitumia wapi na mwili wake aliutumia vipi?”[1]
[1] Nzuri kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/162-163)
- Imechapishwa: 05/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
127- al-Bayhaqiy na wengineo wamepokea kutoka kwa Mu´aadh bin Jabal ambaye ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Haitovuka miguu ya mja siku ya Qiyaamah mpaka aulizwe juu ya mambo mane: umri wake aliuteketeza katika mambo gani, elimu yake aliifanyia nini, mali yake aliipata kivipi na akaitumia wapi na mwili wake aliutumia vipi?”[1]
[1] Nzuri kupitia zengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/162-163)
Imechapishwa: 05/05/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/05-hadiyth-haitovuka-miguu-ya-mja-siku-ya-qiyaamah-mpaka/