109- Ibn ´Umar ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kutafuta elimu kwa ajili ya kujifakharisha wanachuoni, kugombana na wapumbavu na kufanya nyuso za watu zimgeukie, basi yuko Motoni.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/153)
- Imechapishwa: 03/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
109- Ibn ´Umar ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kutafuta elimu kwa ajili ya kujifakharisha wanachuoni, kugombana na wapumbavu na kufanya nyuso za watu zimgeukie, basi yuko Motoni.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/153)
Imechapishwa: 03/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/04-hadiyth-yule-mwenye-kutafuta-elimu-kwa-ajili-ya-kujifakharisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)