3- Wanawachochea vijana na rika lao dhidi ya watawala katika nchi hii. Allaah ailinde na kila ovu na chenye kuchukiza na azirudishe njama za wenye chuki kwao wenyewe ili wasifikie katika malengo yao ambayo kwayo wanafanya haraka, kuajiri na kulingania kwayo.
- Muhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Asbaab Istiqaamat-ish-Shabaab wa Bawaa´ith Inhiraafihim, uk. 17-18
- Imechapishwa: 25/03/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)