Madhambi yanapelekea katika upweke ambao anahisi yule mtenda dhambi kati yake yeye na Allaah. Ndani yake hakuna utamu wowote ule kabisa. Iwapo atapata utamu wa ulimwenguni kote, basi utamu huo usingefaa chochote kwa upweke huo. Hili ni jambo ambalo hakuna anayelihisi isipokuwa yule ambaye moyoni mwake kuna uhai. Kwani mfu hahisi maumivu yoyote kwa donda. Lau mtu angeliacha madhambi kwa sababu ya kuepuka upweke huo, basi ingelitosha kwa yule mwenye busara kuyaepuka. Hakuna kitu kinachofanya moyo kuwa na uchungu kama upweke wa dhambi zilizopandiana.
- Muhusika: Imaam Ibn Qayyim-il-Jawziyyah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ad-Daa’ wad-Dawaa’, uk. 65-66
- Imechapishwa: 28/12/2017
Madhambi yanapelekea katika upweke ambao anahisi yule mtenda dhambi kati yake yeye na Allaah. Ndani yake hakuna utamu wowote ule kabisa. Iwapo atapata utamu wa ulimwenguni kote, basi utamu huo usingefaa chochote kwa upweke huo. Hili ni jambo ambalo hakuna anayelihisi isipokuwa yule ambaye moyoni mwake kuna uhai. Kwani mfu hahisi maumivu yoyote kwa donda. Lau mtu angeliacha madhambi kwa sababu ya kuepuka upweke huo, basi ingelitosha kwa yule mwenye busara kuyaepuka. Hakuna kitu kinachofanya moyo kuwa na uchungu kama upweke wa dhambi zilizopandiana.
Muhusika: Imaam Ibn Qayyim-il-Jawziyyah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ad-Daa’ wad-Dawaa’, uk. 65-66
Imechapishwa: 28/12/2017
https://firqatunnajia.com/03-madhambi-yanapelekea-katika-upweke/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket