Kuhusu idadi ya Rak´ah zake hakukuthibiti chochote kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ni jambo lenye wasaa. Shaykh-ul-Islaam bin Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:
“Inafaa kwa mtu akaswali Rak´ah ishirini, kama ilivyotangaa katika madhehebu ya Ahmad na ash-Shaafi´iy, inafaa kwake kuswali Rak´ah thelathini na sita, kama yalivyo madhehebu ya Maalik, inafaa kwake kuswali Rak´ah kumi na moja au Rak´ah kumi na tatu, yote ni mazuri. Kwa hivyo kurefusha au kupunguzwa Rak´ah kunategemeaa urefu au ufupi wa kusimama.”[1]
´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) wakati alipowakusanya watu nyuma ya Ubayy aliwaswalisha Rak´ah ishirini. Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) wako miongoni mwao walioswali Rak´ah chache na wako wengine walioswali Rak´ah nyingi. Kiwango maalum hakuna dalili kutoka katika Shari´ah.
[1] al-Akhbaar-ul-´Ilmiyyah min Ikhtiyaaraat-il-Fiqhiyyah, uk. 97.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mulakhasw al-Fiqh (01/169)
- Imechapishwa: 07/05/2021
Kuhusu idadi ya Rak´ah zake hakukuthibiti chochote kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ni jambo lenye wasaa. Shaykh-ul-Islaam bin Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:
“Inafaa kwa mtu akaswali Rak´ah ishirini, kama ilivyotangaa katika madhehebu ya Ahmad na ash-Shaafi´iy, inafaa kwake kuswali Rak´ah thelathini na sita, kama yalivyo madhehebu ya Maalik, inafaa kwake kuswali Rak´ah kumi na moja au Rak´ah kumi na tatu, yote ni mazuri. Kwa hivyo kurefusha au kupunguzwa Rak´ah kunategemeaa urefu au ufupi wa kusimama.”[1]
´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) wakati alipowakusanya watu nyuma ya Ubayy aliwaswalisha Rak´ah ishirini. Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) wako miongoni mwao walioswali Rak´ah chache na wako wengine walioswali Rak´ah nyingi. Kiwango maalum hakuna dalili kutoka katika Shari´ah.
[1] al-Akhbaar-ul-´Ilmiyyah min Ikhtiyaaraat-il-Fiqhiyyah, uk. 97.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Mulakhasw al-Fiqh (01/169)
Imechapishwa: 07/05/2021
https://firqatunnajia.com/03-idadi-ya-rakah-za-tarawiyh-ni-jambo-lenye-wasaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)