Swali 3: Ni lazima kwa wanawake wenye damu ya uzazi wafunge na kuswali wakisafika kabla ya siku arobaini?
Jibu: Ndio. Pindi mwanamke mwenye damu ya uzazi ataposafika kabla ya arobaini basi ni lazima kwake kufunga ikiwa hayo yamemtokea katika Ramadhaan. Aidha ni lazima kwake kuswali. Inafaa kwa mume wake kumjamii kwa sababu ni msafi. Hana kitu kinachomzuia kufunga, ulazima wa swalah na uhalali wa jimaa.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 8-9
- Imechapishwa: 06/06/2021
Swali 3: Ni lazima kwa wanawake wenye damu ya uzazi wafunge na kuswali wakisafika kabla ya siku arobaini?
Jibu: Ndio. Pindi mwanamke mwenye damu ya uzazi ataposafika kabla ya arobaini basi ni lazima kwake kufunga ikiwa hayo yamemtokea katika Ramadhaan. Aidha ni lazima kwake kuswali. Inafaa kwa mume wake kumjamii kwa sababu ni msafi. Hana kitu kinachomzuia kufunga, ulazima wa swalah na uhalali wa jimaa.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 8-9
Imechapishwa: 06/06/2021
https://firqatunnajia.com/03-ibaadah-kwa-mwenye-nifasi-akisafika-kabla-ya-arobaini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)