25 – Maneno kwa herufi yanapaswa kuthibitishwa, sauti, lugha, maneno na surah.
26 – Maneno Yake kumzungumzisha Jibriyl na Malaika.
27 – Maneno Yake kumzungumzisha Malaika wa kifuko cha uzazi na Malaika wa kutoa roho.
28 – Maneno Yake kumzungumzisha Ridhwaan na Maalik.
29 – Maneno Yake kumzungumzisha Aadam, Muusa, Muhammad na waliokufa mashahidi.
30 – Maneno Yake kuwazungumzisha waumini wakati wa Hesabu na Peponi.
31 – Kushuka kwa Qur-aan katika mbingu ya chini.
32 – Qur-aan ndio iliyoandikwa ndani ya Misahafu.
33 – Anapenda baadhi ya visomo, Anachukia vyengine.
34 – Imekuja katika Hadiyth:
”Allaah hasikizi kitu kama anavomsikiza Nabii Wake anayesoma Qur-aan kwa sauti nzuri kabisa.”[1]
35 – Imekuja katika Hadiyth:
”Allaah anamsikiza zaidi msomaji Qur-aan kuliko bwana wa mjakazi anavosikiliza nyimbo ya mjakazi wake.”[2]
[1] al-Bukhaariy (5023-5024) na Muslim (792).
[2] Ibn Maajah (1340) na al-Haakim (2097). Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Dhwa´iyf Sunan Ibn Maajah” (251).
- Muhusika: Imaam Abul-Qaasim Sa´d bin ´Aliy bin Muhammad az-Zinjaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ajwibah fiy Usuul-id-Diyn, uk. 73-81
- Imechapishwa: 14/06/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)