Vifunguzi kimsingi ni vitatu:
1 – Kula.
2 – Kunywa.
3 – Kujamiiana.
Kwa hivyo muislamu anapaswa kujizuia na mambo haya kwa nia, kuanzia alfajiri ya pili hadi jua linapozama. Allaah (Ta´ala) amesema:
فَالْآنَ بَاشِرُوهُنَّ وَابْتَغُوا مَا كَتَبَ اللَّـهُ لَكُمْ ۚ وَكُلُوا وَاشْرَبُوا حَتَّىٰ يَتَبَيَّنَ لَكُمُ الْخَيْطُ الْأَبْيَضُ مِنَ الْخَيْطِ الْأَسْوَدِ مِنَ الْفَجْرِۖ ثُمَّ أَتِمُّوا الصِّيَامَ إِلَى اللَّيْلِ
“Basi sasa changanyikeni nao [waingilieni] na tafuteni aliyokuandikieni Allaah kwenu. Kuleni na kunyweni mpaka ubainike kwenu weupe wa alfajiri katika weusi wa usiku. Kisha timizeni swawm mpaka usiku.”[1]
Alfajiri ya pili ni nuru ya asubuhi inayotambaa na kuenea kwenye upeo wa macho.
[1] 02:187
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Taysiyr Dhil-In´am bisharh ´Umdat-il-Ahkaam (01/01/432)
- Imechapishwa: 13/02/2025
Vifunguzi kimsingi ni vitatu:
1 – Kula.
2 – Kunywa.
3 – Kujamiiana.
Kwa hivyo muislamu anapaswa kujizuia na mambo haya kwa nia, kuanzia alfajiri ya pili hadi jua linapozama. Allaah (Ta´ala) amesema:
فَالْآنَ بَاشِرُوهُنَّ وَابْتَغُوا مَا كَتَبَ اللَّـهُ لَكُمْ ۚ وَكُلُوا وَاشْرَبُوا حَتَّىٰ يَتَبَيَّنَ لَكُمُ الْخَيْطُ الْأَبْيَضُ مِنَ الْخَيْطِ الْأَسْوَدِ مِنَ الْفَجْرِۖ ثُمَّ أَتِمُّوا الصِّيَامَ إِلَى اللَّيْلِ
“Basi sasa changanyikeni nao [waingilieni] na tafuteni aliyokuandikieni Allaah kwenu. Kuleni na kunyweni mpaka ubainike kwenu weupe wa alfajiri katika weusi wa usiku. Kisha timizeni swawm mpaka usiku.”[1]
Alfajiri ya pili ni nuru ya asubuhi inayotambaa na kuenea kwenye upeo wa macho.
[1] 02:187
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Taysiyr Dhil-In´am bisharh ´Umdat-il-Ahkaam (01/01/432)
Imechapishwa: 13/02/2025
https://firqatunnajia.com/02-msingi-wa-vifunguzi-vya-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)