Miongoni mwa madhara yake mengine ni kwamba inazuia riziki. Katika “al-Musnad” kumepokelewa:
“Mja anapokonywa riziki kwa kutokana na dhambi aliyoifanya.”[1]
Kama ambavyo kumcha Allaah kunaleta riziki, kuacha kumcha Allaah kunaleta ufukara. Hakuna kitu kinachosababisha kuletwa kwa riziki ya Allaah kama kuacha maasi.
[1] Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Dhwa´iyf Sunan Ibn Maajah”, uk. 12.
- Muhusika: Imaam Ibn Qayyim-il-Jawziyyah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ad-Daa’ wad-Dawaa’, uk. 65
- Imechapishwa: 28/12/2017
Miongoni mwa madhara yake mengine ni kwamba inazuia riziki. Katika “al-Musnad” kumepokelewa:
“Mja anapokonywa riziki kwa kutokana na dhambi aliyoifanya.”[1]
Kama ambavyo kumcha Allaah kunaleta riziki, kuacha kumcha Allaah kunaleta ufukara. Hakuna kitu kinachosababisha kuletwa kwa riziki ya Allaah kama kuacha maasi.
[1] Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Dhwa´iyf Sunan Ibn Maajah”, uk. 12.
Muhusika: Imaam Ibn Qayyim-il-Jawziyyah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ad-Daa’ wad-Dawaa’, uk. 65
Imechapishwa: 28/12/2017
https://firqatunnajia.com/02-madhambi-yanaleta-umasikini/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket