1007- Thawbaan (Radhiya Allaahu ´anh), mtumwa wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyeachwa huru, ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kufunga siku sita baada ya Fitwr anazingatiwa amefunga mwaka mzima:
مَن جَاء بِالْحَسَنَةِ فَلَهُ عَشْرُ أَمْثَالِهَا
“Yule anayekuja kwa jema moja, basi analipwa kumi mfano wake.”[1][2]
Ameipokea Ibn Maajah na an-Nasaa´iy ambaye yeye tamko lake ni kama ifuatavyo:
“Allaah amefanya jema moja mtu analipwa kumi mfano wake. Mwezi mmoja mtu analipwa miezi kumi. Kufunga siku sita baada ya Fitwr anazingatiwa amefunga mwaka mzima.”[3]
Vilevile ameipokea Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake. Tamko ni lake na pia ni moja katika mapokezi ya an-Nasaa´iy:
“Kufunga mwezi wa Ramadhaan mtu analipwa miezi kumi na kufunga siku sita za Shawwaal mtu analipwa miezi miwili. Hiyo inakuwa kufunga mwaka mzima.”[4]
Ibn Hibbaan ameipokea katika “as-Swahiyh” yake na tamko lake linasema:
“Yule mwenye kufunga Ramadhaan na [siku] sita za Shawwaal basi amefunga mwaka mzima.”[5]
1008- Ameipokea Ahmad, al-Bazzaar na at-Twabaraaniy kupitia kwa Jaabir bin ´Abdillaah[6].
[1] 6:160
[2] Swahiyh.
[3] Swahiyh.
[4] Swahiyh.
[5] Swahiyh.
[6] Swahiyh kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/589)
- Imechapishwa: 09/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1007- Thawbaan (Radhiya Allaahu ´anh), mtumwa wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyeachwa huru, ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kufunga siku sita baada ya Fitwr anazingatiwa amefunga mwaka mzima:
مَن جَاء بِالْحَسَنَةِ فَلَهُ عَشْرُ أَمْثَالِهَا
“Yule anayekuja kwa jema moja, basi analipwa kumi mfano wake.”[1][2]
Ameipokea Ibn Maajah na an-Nasaa´iy ambaye yeye tamko lake ni kama ifuatavyo:
“Allaah amefanya jema moja mtu analipwa kumi mfano wake. Mwezi mmoja mtu analipwa miezi kumi. Kufunga siku sita baada ya Fitwr anazingatiwa amefunga mwaka mzima.”[3]
Vilevile ameipokea Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake. Tamko ni lake na pia ni moja katika mapokezi ya an-Nasaa´iy:
“Kufunga mwezi wa Ramadhaan mtu analipwa miezi kumi na kufunga siku sita za Shawwaal mtu analipwa miezi miwili. Hiyo inakuwa kufunga mwaka mzima.”[4]
Ibn Hibbaan ameipokea katika “as-Swahiyh” yake na tamko lake linasema:
“Yule mwenye kufunga Ramadhaan na [siku] sita za Shawwaal basi amefunga mwaka mzima.”[5]
1008- Ameipokea Ahmad, al-Bazzaar na at-Twabaraaniy kupitia kwa Jaabir bin ´Abdillaah[6].
[1] 6:160
[2] Swahiyh.
[3] Swahiyh.
[4] Swahiyh.
[5] Swahiyh.
[6] Swahiyh kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/589)
Imechapishwa: 09/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-yule-mwenye-kufunga-siku-sita-baada-ya-fitwr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)