121- ´Abdullaah bin ´Amr ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kuficha elimu, basi siku ya Qiyaamah Allaah atampiga hatamu ya Moto.”[1]
Ameipokea Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake na al-Haakim ambaye amesema:
“Ni Swahiyh na haina doa.”
[1] Nzuri na Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/160)
- Imechapishwa: 05/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
121- ´Abdullaah bin ´Amr ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kuficha elimu, basi siku ya Qiyaamah Allaah atampiga hatamu ya Moto.”[1]
Ameipokea Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake na al-Haakim ambaye amesema:
“Ni Swahiyh na haina doa.”
[1] Nzuri na Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/160)
Imechapishwa: 05/05/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-yule-mwenye-kuficha-elimu/