717- Amepokea tena kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Ukizungumza siku ya ijumaa, basi umefanya upuuzi na kufutwa.”[1]
Bi maana wakati ambapo imamu yuko anakhutubu.
Ameipokea Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/447)
- Imechapishwa: 14/01/2018
717- Amepokea tena kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Ukizungumza siku ya ijumaa, basi umefanya upuuzi na kufutwa.”[1]
Bi maana wakati ambapo imamu yuko anakhutubu.
Ameipokea Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/447)
Imechapishwa: 14/01/2018
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-ukizungumza-siku-ya-ijumaa/