582- Kutoka kwake amesema:
“Hakuna kitu katika swalah za sunnah ambacho Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikitilia mkazo zaidi kuliko Rak´ah mbili za kabla ya Fajr.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim, Abu Daawuud, an-Nasaa’iy na Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake. Katika upokezi wa Ibn Khuzaymah imekuja:
“Sijawahi kumuona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiliendea mbio jambo la kheri wala mateka kama Rak´ah mbili za kabla ya Fajr.”
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/379)
- Imechapishwa: 08/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket