582- Kutoka kwake amesema:
“Hakuna kitu katika swalah za sunnah ambacho Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikitilia mkazo zaidi kuliko Rak´ah mbili za kabla ya Fajr.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim, Abu Daawuud, an-Nasaa’iy na Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake. Katika upokezi wa Ibn Khuzaymah imekuja:
“Sijawahi kumuona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiliendea mbio jambo la kheri wala mateka kama Rak´ah mbili za kabla ya Fajr.”
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/379)
- Imechapishwa: 08/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
582- Kutoka kwake amesema:
“Hakuna kitu katika swalah za sunnah ambacho Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikitilia mkazo zaidi kuliko Rak´ah mbili za kabla ya Fajr.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim, Abu Daawuud, an-Nasaa’iy na Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake. Katika upokezi wa Ibn Khuzaymah imekuja:
“Sijawahi kumuona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiliendea mbio jambo la kheri wala mateka kama Rak´ah mbili za kabla ya Fajr.”
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/379)
Imechapishwa: 08/05/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-sijawahi-kumuona-mtume-wa-allaah-akiliendea-mbio-jambo/