113- Abu Qataadah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kitu bora anachoweza mtu kuacha baada ya kuondoka kwake ni mambo matatu; mtoto mwema mwenye kumuombea du´aa, swadaqah yenye kuendelea ambayo ujira wake unamfikia na elimu inayotendewa kazi baada kuondoka kwake.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
Pia imekwishatangulia Hadiyth ya Abu Hurayrah:
“Anapofariki mwanadamu basi matendo yake yote yanakatika isipokuwa mambo matatu; swadaqah yenye kuendelea, elimu ambayo watu wananufaika kwayo au mtoto mwema mwenye kumuombea du´aa.”
Ameipokea Muslim.
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/156)
- Imechapishwa: 03/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
113- Abu Qataadah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kitu bora anachoweza mtu kuacha baada ya kuondoka kwake ni mambo matatu; mtoto mwema mwenye kumuombea du´aa, swadaqah yenye kuendelea ambayo ujira wake unamfikia na elimu inayotendewa kazi baada kuondoka kwake.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
Pia imekwishatangulia Hadiyth ya Abu Hurayrah:
“Anapofariki mwanadamu basi matendo yake yote yanakatika isipokuwa mambo matatu; swadaqah yenye kuendelea, elimu ambayo watu wananufaika kwayo au mtoto mwema mwenye kumuombea du´aa.”
Ameipokea Muslim.
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/156)
Imechapishwa: 03/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-kitu-bora-anachoweza-mtu-kuacha-baada-ya-kuondoka-kwake-ni-mambo-matatu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)