263 – ´Uthmaan bin ´Affaan (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
من أدركه الأذانُ في المسجدِ ثم خرج لم يخرج لحاجةٍ، وهو لا يريد الرجعةَ؛ فهو منافق
“Ambaye adhaana itamkuta msikitini kisha akatoka pasi na haja na hakusudii kurejea, basi ni mnafiki[1].”[2]
Ameipokea Ibn Maajah.
[1] Bi maana amefanya kitendo cha wanafiki, kwa sababu muumini wa kweli hafanyi hivo. Hapa unafiki wa kimatendo na si kwa kiimani. Zingatia jambo hilo, kwa sababu ni muhimu.
[2] Swahiyh kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/224)
- Imechapishwa: 09/03/2022
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
263 – ´Uthmaan bin ´Affaan (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
من أدركه الأذانُ في المسجدِ ثم خرج لم يخرج لحاجةٍ، وهو لا يريد الرجعةَ؛ فهو منافق
“Ambaye adhaana itamkuta msikitini kisha akatoka pasi na haja na hakusudii kurejea, basi ni mnafiki[1].”[2]
Ameipokea Ibn Maajah.
[1] Bi maana amefanya kitendo cha wanafiki, kwa sababu muumini wa kweli hafanyi hivo. Hapa unafiki wa kimatendo na si kwa kiimani. Zingatia jambo hilo, kwa sababu ni muhimu.
[2] Swahiyh kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/224)
Imechapishwa: 09/03/2022
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-ambaye-adhaana-itamkuta-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)