01- Ni lazima kwa mgonjwa kuridhia makadirio ya Allaah, asubirie yale aliyomkadiria na amdhanie vyema. Kwani hayo ni kheri kwake. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ajabu ilioje juu ya jambo la muumini. Kwani hakika mambo yake yote kwake ni kheri – na hayo hayawi kwa mwingine isipokuwa kwa muumini tu – anapofikwa na furaha basi anashukuru na inakuwa ni kheri kwake na anapofikwa na dhara anakuwa na subira na inakuwa ni kheri kwake.”
“Asife mmoja wenu isipokuwa katika hali ya kumdhania Allaah (Ta´ala) vizuri.”
Ameipokea Muslim, al-Bayhaqiy na Ahmad.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz wa Bid´ahaa, uk. 03
- Imechapishwa: 25/12/2018
01- Ni lazima kwa mgonjwa kuridhia makadirio ya Allaah, asubirie yale aliyomkadiria na amdhanie vyema. Kwani hayo ni kheri kwake. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ajabu ilioje juu ya jambo la muumini. Kwani hakika mambo yake yote kwake ni kheri – na hayo hayawi kwa mwingine isipokuwa kwa muumini tu – anapofikwa na furaha basi anashukuru na inakuwa ni kheri kwake na anapofikwa na dhara anakuwa na subira na inakuwa ni kheri kwake.”
“Asife mmoja wenu isipokuwa katika hali ya kumdhania Allaah (Ta´ala) vizuri.”
Ameipokea Muslim, al-Bayhaqiy na Ahmad.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz wa Bid´ahaa, uk. 03
Imechapishwa: 25/12/2018
https://firqatunnajia.com/01-yanayompasa-mgonjwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)