49- ´Aiaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule atakayezusha katika amri yetu hii yale yasiyokuwemo atarudishiwa mwenyewe.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim na Abu Daawuud kwa tamko lisemalo:
“Yule atakayefanya kitu kisichoafikiana na amri yetu atarudishiwa mwenyewe.”
Ameipokea Ibn Maajah. Katika upokezi wa Muslim imekuja:
“Yule atakayefanya kitendo kisichoafikiana na amri yetu hii yale yasiyokuwemo atarudishiwa mwenyewe.”
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/128)
- Imechapishwa: 27/04/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
49- ´Aiaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule atakayezusha katika amri yetu hii yale yasiyokuwemo atarudishiwa mwenyewe.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim na Abu Daawuud kwa tamko lisemalo:
“Yule atakayefanya kitu kisichoafikiana na amri yetu atarudishiwa mwenyewe.”
Ameipokea Ibn Maajah. Katika upokezi wa Muslim imekuja:
“Yule atakayefanya kitendo kisichoafikiana na amri yetu hii yale yasiyokuwemo atarudishiwa mwenyewe.”
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/128)
Imechapishwa: 27/04/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-yule-atakayezusha-katika-amri-yetu-hii/