49- ´Aiaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule atakayezusha katika amri yetu hii yale yasiyokuwemo atarudishiwa mwenyewe.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim na Abu Daawuud kwa tamko lisemalo:
“Yule atakayefanya kitu kisichoafikiana na amri yetu atarudishiwa mwenyewe.”
Ameipokea Ibn Maajah. Katika upokezi wa Muslim imekuja:
“Yule atakayefanya kitendo kisichoafikiana na amri yetu hii yale yasiyokuwemo atarudishiwa mwenyewe.”
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/128)
- Imechapishwa: 27/04/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
49- ´Aiaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule atakayezusha katika amri yetu hii yale yasiyokuwemo atarudishiwa mwenyewe.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim na Abu Daawuud kwa tamko lisemalo:
“Yule atakayefanya kitu kisichoafikiana na amri yetu atarudishiwa mwenyewe.”
Ameipokea Ibn Maajah. Katika upokezi wa Muslim imekuja:
“Yule atakayefanya kitendo kisichoafikiana na amri yetu hii yale yasiyokuwemo atarudishiwa mwenyewe.”
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/128)
Imechapishwa: 27/04/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-yule-atakayezusha-katika-amri-yetu-hii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)