al-Fadhwl amesema:
“Alifikiwa na khabari – Ahmad – juu ya mtu anayesema: “Allaah hatoonekana siku ya Qiyaamah.” Akasema: “Allaah amlaani! Yeye yuko katika watu gani? Je, Allaah si ndiye kasema:
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاضِرَةٌ إِلَى رَبِّهَا نَاظِرَةٌ
“Kuna nyuso siku hiyo zitang´ara – zikimtazama Mola wao.”[1]
pia:
كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ
“Sivyo hivyo. Bali wao siku hiyo watazuiwa kumuona Mola wao.”[2]?
al-Fadhwl akasema:
“Nimemsikia Ahmad bin Hanbal akisema: “Watu waongo kabisa ni waombaji na wapiga visa.”
[1] 75:22-23
[2] 83:15
- Mhusika: Imaam Abuul-Husayn Muhammad bin Abiy Ya´laa al-Hanbaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Twabaqaat-ul-Hanaabilah (2/193)
- Imechapishwa: 10/06/2017
al-Fadhwl amesema:
“Alifikiwa na khabari – Ahmad – juu ya mtu anayesema: “Allaah hatoonekana siku ya Qiyaamah.” Akasema: “Allaah amlaani! Yeye yuko katika watu gani? Je, Allaah si ndiye kasema:
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاضِرَةٌ إِلَى رَبِّهَا نَاظِرَةٌ
“Kuna nyuso siku hiyo zitang´ara – zikimtazama Mola wao.”[1]
pia:
كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ
“Sivyo hivyo. Bali wao siku hiyo watazuiwa kumuona Mola wao.”[2]?
al-Fadhwl akasema:
“Nimemsikia Ahmad bin Hanbal akisema: “Watu waongo kabisa ni waombaji na wapiga visa.”
[1] 75:22-23
[2] 83:15
Mhusika: Imaam Abuul-Husayn Muhammad bin Abiy Ya´laa al-Hanbaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Twabaqaat-ul-Hanaabilah (2/193)
Imechapishwa: 10/06/2017
https://firqatunnajia.com/yeye-ni-katika-watu-gani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)