Swali 07: Iwapo tutakadiria kwamba kuna uasi unaokubalika Kishari´ah kwenye kundi miongoni mwa makundi. Je, jambo hili litatakasa kuwaua wale wasaidizi wa mtawala huyu na kila ambaye anafanya kazi serikalini kama mfano wa polisi, wenye kuchunga amani na wengineo?
Jibu: Nimeshatangulia kukujuza kwamba haijuzu kufanya uasi kwa mtawala isipokuwa kwa kutumia masharti mawili:
1- Kuwepo na ukafiri wa wazi ambao una ushahidi kutoka kwa Allaah.
2- Uwezo wa kumg´oa mtawala ung´oaji usiopelekea katika shari kubwa kuliko. Yasipotimia hayo haijuzu.
- Mhusika: Imaam ´Abdu-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´Ulamaa-ul-Kibaar fiy al-Irhaab wat-Tadmiyr, uk. 111
- Imechapishwa: 20/12/2019
Swali 07: Iwapo tutakadiria kwamba kuna uasi unaokubalika Kishari´ah kwenye kundi miongoni mwa makundi. Je, jambo hili litatakasa kuwaua wale wasaidizi wa mtawala huyu na kila ambaye anafanya kazi serikalini kama mfano wa polisi, wenye kuchunga amani na wengineo?
Jibu: Nimeshatangulia kukujuza kwamba haijuzu kufanya uasi kwa mtawala isipokuwa kwa kutumia masharti mawili:
1- Kuwepo na ukafiri wa wazi ambao una ushahidi kutoka kwa Allaah.
2- Uwezo wa kumg´oa mtawala ung´oaji usiopelekea katika shari kubwa kuliko. Yasipotimia hayo haijuzu.
Mhusika: Imaam ´Abdu-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´Ulamaa-ul-Kibaar fiy al-Irhaab wat-Tadmiyr, uk. 111
Imechapishwa: 20/12/2019
https://firqatunnajia.com/yasipotimia-haya-haijuzu-haijuzu-kumgoa-mtawala-kafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)