Swali 42: Kwa nisba ya kutawadha kutokamana na utoko inatosha kuosha vile viungo vya wudhuu´ peke yake?
Jibu: Ndio, inatosha kufanya hivo kujengea kwamba ikiwa ni msafi (nao ni ule ambao unatoka kwenye kifuko cha uzazi) na si kwenye kibofu cha mkojo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 36-37
- Imechapishwa: 15/08/2021
Swali 42: Kwa nisba ya kutawadha kutokamana na utoko inatosha kuosha vile viungo vya wudhuu´ peke yake?
Jibu: Ndio, inatosha kufanya hivo kujengea kwamba ikiwa ni msafi (nao ni ule ambao unatoka kwenye kifuko cha uzazi) na si kwenye kibofu cha mkojo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 36-37
Imechapishwa: 15/08/2021
https://firqatunnajia.com/wudhuu-wa-kawaida-kwa-mwanamke-anayetokwa-na-utoko/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)