Watu wengi hawajali ni aina ipi ya Ruqyah wanayotumia. Bali kila yule ambaye yasemekana kuwa anasomea watu na kuwatibu watu, wanaenda kwake. Bila kwanza kuhakikisha suala lake, wakajua ´Aqiydah yake na wakajua nini anachotumia katika Ruqyah; je, ni ya Kishari´ah au Shirki? Hawahakikisha mambo haya. Kinyume chake, wanachoamini wao ni umaarufu (wa msomaji) na utajo (wake kwa watu). Wanawatia khatarini ndugu na jamaa zao na Dini yao (kwa kwenda kwa watu kama hao). Suala hili ni khatari sana.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://youtu.be/ZW4t_k22f7E
- Imechapishwa: 12/03/2018
Watu wengi hawajali ni aina ipi ya Ruqyah wanayotumia. Bali kila yule ambaye yasemekana kuwa anasomea watu na kuwatibu watu, wanaenda kwake. Bila kwanza kuhakikisha suala lake, wakajua ´Aqiydah yake na wakajua nini anachotumia katika Ruqyah; je, ni ya Kishari´ah au Shirki? Hawahakikisha mambo haya. Kinyume chake, wanachoamini wao ni umaarufu (wa msomaji) na utajo (wake kwa watu). Wanawatia khatarini ndugu na jamaa zao na Dini yao (kwa kwenda kwa watu kama hao). Suala hili ni khatari sana.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://youtu.be/ZW4t_k22f7E
Imechapishwa: 12/03/2018
https://firqatunnajia.com/wewe-unamjua-unayetaka-akusomee-ruqyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)