Swali: Watu wa Tabliygh wanatoka kwa ajiili ya Da´wah kwa muda wa siku tatu, arubaini au miezi mine. Ni siku maalum zimepangwa. Je, wanarukhusiwa kuwa mbali na familia zao kwa muda wa siku hizi na kuna…
Jibu: Haijuzu kwao (kufanya) safari hizi hata kama wangelikuwa hawana familia. Kwa kuwa hii ni Bid´ah. Wakiwa na familia na wakawaacha, madhambi yanazidi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-09.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Watu wa Tabliygh wanatoka kwa ajiili ya Da´wah kwa muda wa siku tatu, arubaini au miezi mine. Ni siku maalum zimepangwa. Je, wanarukhusiwa kuwa mbali na familia zao kwa muda wa siku hizi na kuna…
Jibu: Haijuzu kwao (kufanya) safari hizi hata kama wangelikuwa hawana familia. Kwa kuwa hii ni Bid´ah. Wakiwa na familia na wakawaacha, madhambi yanazidi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-09.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/wasiokuwa-na-familia-wanaruhusiwa-kutoka-na-jamaaat-ut-tabliygh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)