Swali: Baadhi ya wanawake wanatumia vidonge katika mwezi wa Ramadhaan bila kusimamiza. Wanafanya hivo ili wasipate ada ya mwezi kwa lengo wasile siku hata moja ya Ramadhaan. Je, kitendo hichi ni sahihi?
Jibu: Mimi sioni neno wa kufanya hivo ikiwa hayo hayawadhuru. Sijui ubaya wowote juu ya hilo. Kwa sababu wao katika hilo wana manufaa makubwa ambapo wanataka kufunga pamoja na wengine na wasilipe baada ya hapo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/200-201)
- Imechapishwa: 24/05/2018
Swali: Baadhi ya wanawake wanatumia vidonge katika mwezi wa Ramadhaan bila kusimamiza. Wanafanya hivo ili wasipate ada ya mwezi kwa lengo wasile siku hata moja ya Ramadhaan. Je, kitendo hichi ni sahihi?
Jibu: Mimi sioni neno wa kufanya hivo ikiwa hayo hayawadhuru. Sijui ubaya wowote juu ya hilo. Kwa sababu wao katika hilo wana manufaa makubwa ambapo wanataka kufunga pamoja na wengine na wasilipe baada ya hapo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/200-201)
Imechapishwa: 24/05/2018
https://firqatunnajia.com/wanatumia-vidonge-vya-kukata-hedhi-ili-wasile-ramadhaan-hata-moja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)