Swali: Ikiwa haijuzu kumpa zakaah mume. Kusemwe nini juu ya mke wa ´Abdullaah bin Mas´uud kumpa zakaah yake?
Jibu: Huyo ni mume. Haifai kwa mume kumpa zakaah yake mke wake. Kwa sababu yeye analazimika kumpa matumizi. Ama mke si lazima kwake kumpa matumizi mume wake. Ndio maana wakatofautiana kama inafaa kwa mume kumpa zakaah mke wake au haifai. Masuala haya wanachuoni wametofuatiani.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
- Imechapishwa: 04/11/2019
Swali: Ikiwa haijuzu kumpa zakaah mume. Kusemwe nini juu ya mke wa ´Abdullaah bin Mas´uud kumpa zakaah yake?
Jibu: Huyo ni mume. Haifai kwa mume kumpa zakaah yake mke wake. Kwa sababu yeye analazimika kumpa matumizi. Ama mke si lazima kwake kumpa matumizi mume wake. Ndio maana wakatofautiana kama inafaa kwa mume kumpa zakaah mke wake au haifai. Masuala haya wanachuoni wametofuatiani.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
Imechapishwa: 04/11/2019
https://firqatunnajia.com/wanandoa-kupeana-zakaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)