Wanachuoni wa Shiy´ah wanaona halali kuwaua Ahl-us-Sunnah

al-Kulayniy amesema:

“Watu wote ni watoto wa uzinifu isipokuwa tu kundi letu.”[1]

Kwa ajili hiyo wamehalalisha kuwaua Ahl-us-Sunnah na kupora mali yao. Daawuud bin Farqad amesema:

“Nilimuuliza Abu ´Abdillaah kuhusu kumuua naswibi ambapo akajibu: “Ni halali kumuua, lakini mimi nachelea juu yako. Ukiweza kumpindulia ukuta au kumzamisha kwenye maji kwa njia ya kwamba hakuna yeyote atakayekuona, basi fanya hivo.”[2]

Imaam al-Khumaymiy ametilia taaliki hili na akasema:

“Ukiweza kuichukua mali yake basi fanya hivo na ututumie fungu moja ya tano.”

[1] ar-Rawdhwah (8/135).

[2] Bihaar-ul-Anwaar (27/231).

  • Mhusika: Husayn al-Muusawiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Lillaah, thumma lit-Taariykh, uk. 89
  • Imechapishwa: 02/12/2018