6Sasa Esau akajua kuwa Isaki amembariki Yakobo na kumtuma kwenda Padan-Aramu ili achukue mke huko na kwamba alipombariki alimwamuru akisema: “Usioe mke katika binti za Wakanaani”, 7tena kwamba Yakobo amewatii baba yake na mama yake naye amekwenda Padan-Aramu. 8Esau akatambua jinsi ambavyo baba yake Isaki anavyowachukia binti za Wakanaani. 9Ndipo Esau akaenda kwa Ismaeli, akamwoa Mahalati, ndugu wa Nebayothi na binti wa Ismaeli mwana wa Abrahamu, kuongezea wale wake wengine aliokuwa nao.
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mwanzo 28:06-09
- Imechapishwa: 14/01/2020
6Sasa Esau akajua kuwa Isaki amembariki Yakobo na kumtuma kwenda Padan-Aramu ili achukue mke huko na kwamba alipombariki alimwamuru akisema: “Usioe mke katika binti za Wakanaani”, 7tena kwamba Yakobo amewatii baba yake na mama yake naye amekwenda Padan-Aramu. 8Esau akatambua jinsi ambavyo baba yake Isaki anavyowachukia binti za Wakanaani. 9Ndipo Esau akaenda kwa Ismaeli, akamwoa Mahalati, ndugu wa Nebayothi na binti wa Ismaeli mwana wa Abrahamu, kuongezea wale wake wengine aliokuwa nao.
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mwanzo 28:06-09
Imechapishwa: 14/01/2020
https://firqatunnajia.com/wakeze-usau-katika-biblia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)